Sunday, November 13, 2016

Trand of Zanzibar economy

Zanzibar is a small island which surfer in different challenges in its economy. it is known that Zanzibar during the 18th century was the upper level of economic and called that Zanzibar as the commercial empire. but day to day some European countries brought differents jealous for the rising of Zanzibar economy so Zanzibar under sultan british make zanzibar as her protectorate  in 1890 in order to demise Zanzibar economy and remain her status  in the world so after the coming of independence time Zanzibar was anous its direction i n economy but still  until now zanzibar not became its status like befer colonialism this because Zanzibar are adminstered with the coruption and not reshape its status . so Zanzibar economy are droping because of split politious  in Zanzibar.
Abdul-rahim Salum Suleiman (Asan)

Wednesday, September 7, 2016

A.alaykum wapendwa wa bwana natumai nyote mko wazima wa afya na mimi mungu ananiweka vizuri. Nifuraha yangu kuwa na afya njema katika kipindi hiki cha field.
Wapendwa rafiki baada ya kumaliza mwaka wangu wa pili wa kimasomo katika chuo kikuu cha taifa zanzibar (suza) nimefanikiwa kuingia katika mafunzo ya vitendo (field) ya fani yangu ninayo somea ya ualimu wa history na kiswahili katika skuli ya sekondari ya mpendae iliopo mjini zanzibar hivyo walimu wa skuli hio wanenipokea vizuri na kuniweka st vizuri na wanafunzi wa skuli hio wa kidato cha kwanza hadi Sita ila kwa upande wangu niliamua kua nao wanafunzi wa kidato cha tatu na nne kutokana na mambo mengine ya kijamii nilionao na namshukuru mungu tunaenda vizuri. Wapendwa rafiki karibuni Sana skulini kwangu mpendae zanzibar. I would like to say welcome mpendae secondary school. Thaks
Add caption

Monday, January 25, 2016

MY IN FORMATION

 Mimi ni abdul-rahim Salum Suleiman.nimezaliwa tarehe, 04/11/1987 katika hospitali ya Abdalla Mzee mkoani kusini Pemba.
no
mimi ni mtoto wa sita (6) wa mzee salum suleiman khamis(Sahera) kati ya watoto kumi na sita(16) wakiwa wanawake kumi na wanaume sita.lakini pia ni mtoto wa tatu (3) wa Bi Nafuu Bakar Maalim kati ya  watoto nane(8)wakiwa wanawake watano(5) na wanaume watatu(3).nimeanza kusoma katika skuli ya msingi darasa la kwanza mwaka 1995 katika skuli ya kilindi na nilimaliza masomo yandu ya msingi mwaka 2002. hapo nilijiunga na sekondari katika skuli ya sekondari ya kilindi mwaka 2003 nilipaata kusoma shule mbali mbali za sekondari ikiwemo skuli ya sekondari fidal castro na haile selassie mjini zanzibar. nilimaliza masomo yangu ya sekondari ya awali (kidato cha nne) mwaka2008. pia niliendelea na sekondari ya juu (kidato cha sita) katika skuli ya sekondari ya Tumekuja mwaka 2009 na nilimaliza mwaka 2011.
nilijiunga na masomo ya stash hada (diploma) ya utunzaji wa kumbukumbu (diploma in records and archives management katika Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar mwaka 2012 na nilimaliza mwaka 2013.
kutokana na maisha yangu kua magumu sana wazazi walishindwa kunisomesha baada ya kufeli masomo yangu ya mara ya kwanza kidato cha pili mwaka 2005 katika skuli ya kilindi chake chake Pemba. hapo niliamua kujisomesha mwenyewe kuazia kidato cha tatu mpaka kufikiastash hada ijapo nilikua nikipata baadhi ya msaada wao wakati wakimasomo.
utakua unajiuliza nilijisomeshaje?
Wakati nilipo kua najisomesha nitambua kua mimi ni mtoto wa kimaskini napaswa nijitahidi kutafuta ada ya masomo lakini ppia kufanya vizuri katika masomo yangu.kwahivyo niliamua kufanya kazi mbali mbali ambazo zilisaidia kuingiza kipato katika maisha yangu ijapo kua hakikua kinatosheleza.nilijaribu kujifunza ufundi wa nyumba kupiga plasta na pia kupiga dari pamoja na kujenga paa. nilipo ona harakati hizi zilikua ngumu kulingana na mda wa shule niliamua kujitupa katika harakati za ulinzi katika sehemu za maduka,majumba,mahotelini na katika sehemu za makampuni.
namshukuru mungu nilisoma na nilimaliza kwa kupitia harkati hizi baada ya hapo niliamua kutafuta ajira ya serikali lakini pia haikua bahati yangu kupata ajira hio.
kutokana na hali hio niliamua kujiunga na shahada ya elimu katika vyuo vikuu vya Tanzania ambapo nilianzia na chuo kikuu cha Tumaini mwaka 2014/15. Lakini kutokana na ada yake kua kubwa na kukosa udhamini wa serikali nilishindwa kuendelea na chuo hicho.hivyo kwa mwaka uliofata nilihamia chuo kikuu cha Taifa Zanzibar